top of page

Blogs from Salma's Socials

5 Jul 2025

Lishe Duni, Epijenetiki na Magonjwa Yasioambukiza Ukubwani.

Je, kuna uhusiano wa lishe duni kwa mtoto aliye tumboni na magonjwa yasioambukiza kama vile kisukari, shinikizo la damu, kansa na kufeli figo ukubwani?

lishe duni, magonjwa yasioambukiza

28 Jun 2025

Nini Unatakiwa Kukagua Katika Haja Yako Kubwa?

Mara nyingi unajikuta unachunguliwa haja kubwa yako kabla ya ku-flash, hata watoto wadogo hugeuka nyuma kuangalia walichotoa tumboni, je ni kwanini?

choo kikubwa, kinyesi

23 May 2025

Sumu Zinazoharibu Ubora wa Mbegu za Uzazi

Kubwa zaidi ni sumu ambazo zinapatikana katika maisha ya kila siku kuingia mwilini. Kundi baya zaidi ni kundi la sumu zinazovuruga mfumo wa homoni mwilini (hormone disruptors).

ugumba, kutozaa, mimba

22 May 2025

Madhara ya Kutomwambia Ukweli Daktari Wako

Huenda unaogopa kumwambia daktari wako juu ya dalili zote au muda ulioumwa, au umeshatumia mitishamba au dawa yoyote kabla ya kwenda kumuona daktari.

ukweli, daktari, matibabu

17 May 2025

Shinikizo La Damu; Takwimu, Dalili, Hatari Yake, Matibabu na Namna ya Kujikinga.

Kijana wa miaka 37, aliletwa hospitali akiwa ameanguka ghafla asubuhi. Njozi zake na familia yake zimezimika ghafla kwa presha ya 220/175mmHg.

shinikizo la damu, presha

14 May 2025

Ninywe Vidonge Vingapi Vya Dawa?

Hili ni swali wagonjwa, ndugu, jamaa na marafiki huniuliza hasa wanapokua wanahitaji kuwa na uhakika ni kiasi gani cha dawa wanatakiwa kunywa.

ninywe vidonge vingapi vya dawa

7 May 2025

Mabadiliko ya Lishe (Nutrition Transition)

Mabadiliko ya lishe ni kuhama/kubadilika kwa tabia mlo, mpangilio wa chakula na kiasi cha nishati kinacholiwa na mtu. Hii hali inategemea mabadiliko ya kiuchumi, demografia na kiepidemiolojia .

Mabadiliko ya Lishe- Nutrition Transition

6 May 2025

Why Lying to Your Doctor May Kill You.

Many of us lie at some point in our lives. Unfortunately, we might have lied to our doctors or medical practitioners about our symptoms, their onset, and their nature before knocking at their door.

Lying to the doctor

2 May 2025

Just Got My First Pay Writing; You Can Do Too.

A few days ago, I made Tsh 65,000, equivalent to $24. I couldn’t be happier that I finally got paid for my writing, and I am excited for more.

paid medical writing, Tanzania medical writer

25 Apr 2025

Malaria: Visababishi, Dalili, Jinsi ya Kujikinga na Matibabu

Je, unajua malaria inasababishwa na nini? Je, unajua kimelea cha malaria kiingia mwilini kinafanya nini au kinasababisha vipi hali ambayo mgonjwa anajisikia?

malaria, dalili, matibabu

11 Apr 2025

Kwanini Nashindwa Kupata Ujauzito

Je, unatamani kushika ujauzito? Au uko kwenye safari ya kushika ujauzito, kupandikiza mtoto (IVF) au kupata mimba kwa njia asilia? Unafahamu kuhusu ubora wa yai (egg quality)?

Ugumba, ujauzito, kuzaa

19 May 2023

Mtoto Wangu Hapendi Kula! Nifanyeje?

Siri ni kumsoma tabia mtoto wako na kufanya kile ambacho kinawezekana kwa wakati huo ale chakula. Sio lazima kuanza na uji.

Mwanangu hapendi kula nifanyeje
bottom of page